Maharagwe Jeli ya Mahusiano
Calvert-Joshua, Tracey / Bwanya, Brian Edward Jioni ya siku ya kuzaliwa kwangu nilipohitimisha miaka 10, babu yangu alitusimulia hadithi ambayo bado naikumbuka vyema zaidi akilini mwangu kama ilivyokuwa siku hiyo. Hadithi hii sio kumhusu babu yangu.Lakini ikiwa hiyo ilifanya utake kuendelea kusoma zaidi, basi tuna kitu kimoja sawa kati yetu.Kama wewe, hakuna kitu kinachonivutia zaidi kuliko mtu akianza na hadithi ya kibinafsi.
Na hakuna kitu kinachopelekea kuelewa jambo zaidi kuliko msi...